Story Tellers TZ
Story Tellers TZ
  • Видео 657
  • Просмотров 9 529 285

Видео

CHAMA BORA KULIKO PACOME | ANAIKWAMISHA SIMBA | YEYE NI MOJA YA SABABU YA SIMBA KUTOFANYA VIZURI
Просмотров 2,8 тыс.19 часов назад
CHAMA BORA KULIKO PACOME | ANAIKWAMISHA SIMBA | YEYE NI MOJA YA SABABU YA SIMBA KUTOFANYA VIZURI
MANGUNGU AMEJIBU KUJIUZULU, MANZOKI, NGUVU YAKE KWA MO, SIMBA KUDAI UWANJA WAO JANGWANI
Просмотров 21 тыс.День назад
MANGUNGU AMEJIBU KUJIUZULU, MANZOKI, NGUVU YAKE KWA MO, SIMBA KUDAI UWANJA WAO JANGWANI
MANGUNGU: KUHUSU LAWI SITAKI KUINGIA KWENYE SIASA ZA MIGOGORO YA WACHEZAJI, SIMU YA SIMBA NA CAOSTAL
Просмотров 12 тыс.День назад
MANGUNGU: KUHUSU LAWI SITAKI KUINGIA KWENYE SIASA ZA MIGOGORO YA WACHEZAJI, SIMU YA SIMBA NA CAOSTAL
TRY AGAIN HAJAJIUZULU KWA HIARI, MO NA SALIM WALITOFAUTIANA KWENYE UCHAGUZI, TIMU IKAWAGANYIKA
Просмотров 55414 дней назад
TRY AGAIN HAJAJIUZULU KWA HIARI, MO NA SALIM WALITOFAUTIANA KWENYE UCHAGUZI, TIMU IKAWAGANYIKA
JEMEDARI: MASHABIKI WA YANGA ACHENI KUTUKANA WATU, CHANGIENI KLABU YENU
Просмотров 90321 день назад
JEMEDARI: MASHABIKI WA YANGA ACHENI KUTUKANA WATU, CHANGIENI KLABU YENU
MO KUJIMILIKISHA SIMBA! | ANAWAKOPESHA FEDHA | SIMBA HAITOKALIKA | KUHUSU KUCHANGISHA UWANJA
Просмотров 12 тыс.21 день назад
MO KUJIMILIKISHA SIMBA! | ANAWAKOPESHA FEDHA | SIMBA HAITOKALIKA | KUHUSU KUCHANGISHA UWANJA
BENCHIKHA DALALI! KAMTOA PHIRI NA BALEKE KAMLETA JOBE NA SARR | GAMONDI KWA SIMBA | MO AJIUZULU
Просмотров 1,5 тыс.21 день назад
Yanayoendelea Simba Sc
ALLY KAMWE AOMBE RADHI KWA KUDHIHAKI LIGI KUU | NI NDONDO CUP
Просмотров 1,2 тыс.21 день назад
ALLY KAMWE AOMBE RADHI KWA KUDHIHAKI LIGI KUU | NI NDONDO CUP
GAMONDI KUONDOKA YANGA!, UONGOZI UNA CHANGAMOTO, HAWAMTAKI, KLABU KUBWA ZINAMTAKA, AENDE SIMBA SC
Просмотров 3,3 тыс.28 дней назад
GAMONDI KUONDOKA YANGA!, UONGOZI UNA CHANGAMOTO, HAWAMTAKI, KLABU KUBWA ZINAMTAKA, AENDE SIMBA SC
SPORTS HQ: FEI KUWAZIBA MIDOMO YANGA, KIPA WA AZAM MAN OF THE MATCH, RED CARD KWA JOB!
Просмотров 3 тыс.28 дней назад
SPORTS HQ: FEI KUWAZIBA MIDOMO YANGA, KIPA WA AZAM MAN OF THE MATCH, RED CARD KWA JOB!
WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI MGOGORO WA ARDHI ARUSHA
Просмотров 605Месяц назад
WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI MGOGORO WA ARDHI ARUSHA
NYUKI WANAONGEZA UUME | WAKIKUUMA NI TIBA 😂
Просмотров 130Месяц назад
NYUKI WANAONGEZA UUME | WAKIKUUMA NI TIBA 😂
JEMEDARI: WATANZANIA WASHAMBA | NIMEKAA NA VIONGOZI SIMBA YANGA NA AZAM KUNA USHAMBA
Просмотров 2,4 тыс.Месяц назад
JEMEDARI: WATANZANIA WASHAMBA | NIMEKAA NA VIONGOZI SIMBA YANGA NA AZAM KUNA USHAMBA
KUNA JAJI ANAMSAIDIA TAPELI WA ARDHI : SILAA
Просмотров 1,1 тыс.Месяц назад
KUNA JAJI ANAMSAIDIA TAPELI WA ARDHI : SILAA
MWAMPOSA ALIVYOTINGA KWA HARMONIZE
Просмотров 536Месяц назад
MWAMPOSA ALIVYOTINGA KWA HARMONIZE
UTAPENDA HARMONIZE ALIVYOMUINUA RAIS SAMIA KWA WIMBO HUU
Просмотров 669Месяц назад
UTAPENDA HARMONIZE ALIVYOMUINUA RAIS SAMIA KWA WIMBO HUU
SAHAU KUMUONA INONGA SIMBA | HAYA NI MATITIZO YALIYOIKWAMISHA SIMBA
Просмотров 1,5 тыс.Месяц назад
SAHAU KUMUONA INONGA SIMBA | HAYA NI MATITIZO YALIYOIKWAMISHA SIMBA
GEOF LEAH AMPINGA GAMONDI | KWA KAULI YAKE YA HAJAWAHI KUWA NA TIMU BORA KAMA YANGA
Просмотров 2,2 тыс.Месяц назад
GEOF LEAH AMPINGA GAMONDI | KWA KAULI YAKE YA HAJAWAHI KUWA NA TIMU BORA KAMA YANGA
MZE WA JAMBA AJITETEA ' SHUGHULI YA YANGA IMEISHIA HAPA' ILITUMIKA KUWAJENGA ZAIDI
Просмотров 18 тыс.Месяц назад
MZE WA JAMBA AJITETEA ' SHUGHULI YA YANGA IMEISHIA HAPA' ILITUMIKA KUWAJENGA ZAIDI
JEMEDARI: DIARA KIPA BORA ZAIDI KWA MIAKA KUMI YA LIGI YA TANZANIA | AMEMPIKU MANULA
Просмотров 16 тыс.Месяц назад
JEMEDARI: DIARA KIPA BORA ZAIDI KWA MIAKA KUMI YA LIGI YA TANZANIA | AMEMPIKU MANULA
NANI ANASTAHILI KUWA MVP? AZIZ KI AU FEI TOTO? | MJADALA MZITO TAKWIMU ZIKIFUNGANA
Просмотров 2,6 тыс.Месяц назад
NANI ANASTAHILI KUWA MVP? AZIZ KI AU FEI TOTO? | MJADALA MZITO TAKWIMU ZIKIFUNGANA
GUEDE GUMZO IVORY COAST, YANGA KUCHEZA FAINALI AFRICAN FOOTBALL LEAGUE
Просмотров 17 тыс.Месяц назад
GUEDE GUMZO IVORY COAST, YANGA KUCHEZA FAINALI AFRICAN FOOTBALL LEAGUE
KIBU KAGOMA KUSAINI SIMBA SC, KUNA KLABU DSM INAMTAKA
Просмотров 14 тыс.2 месяца назад
KIBU KAGOMA KUSAINI SIMBA SC, KUNA KLABU DSM INAMTAKA
JEMEDARI AWAKINGIA KIFUA YANGA KUFUNGIWA KUSAJILI ASEMA SIMBA WAPO HATARINI PIA
Просмотров 7 тыс.2 месяца назад
JEMEDARI AWAKINGIA KIFUA YANGA KUFUNGIWA KUSAJILI ASEMA SIMBA WAPO HATARINI PIA
😂 MUUZA MADAFU IKULU NI KOMANDO
Просмотров 1,9 тыс.2 месяца назад
😂 MUUZA MADAFU IKULU NI KOMANDO
YANGA HAWANA UBORA KUIZIDI SIMBA | BENCHIKA HAKUNA ATAKACHOIACHIA SIMBA | AMEFELI KUISAIDIA SIMBA!
Просмотров 4,8 тыс.2 месяца назад
YANGA HAWANA UBORA KUIZIDI SIMBA | BENCHIKA HAKUNA ATAKACHOIACHIA SIMBA | AMEFELI KUISAIDIA SIMBA!
PENATI YA AZIZ KI: YANGA 1-0 SIMBA
Просмотров 1,1 тыс.2 месяца назад
PENATI YA AZIZ KI: YANGA 1-0 SIMBA
KAJALA AMUOMBA RADHI P FUNK | WAKUTANA KWENYE BRIDAL SHOWER YA PAULA
Просмотров 2,9 тыс.2 месяца назад
KAJALA AMUOMBA RADHI P FUNK | WAKUTANA KWENYE BRIDAL SHOWER YA PAULA
SPORTS HQ: DUBE ANATUA YANGA MZIZE ANAENDA AZAM FC | AZAM WATUMA OFA YA MABADILISHANO
Просмотров 3 тыс.2 месяца назад
SPORTS HQ: DUBE ANATUA YANGA MZIZE ANAENDA AZAM FC | AZAM WATUMA OFA YA MABADILISHANO

Комментарии

  • @yohanakiureimoon-mo4py
    @yohanakiureimoon-mo4py День назад

    Hivi huu mtandao inatusaidia je sisi washabiki au watazamaji kwa ukweli gani?maana mara inonga ameuziwa mar chama ni yupi kati yao kashaa toka msimbazi niambieni

  • @HajiJuma-oy1jy
    @HajiJuma-oy1jy День назад

    Huna mamlaka yakusema bei lkn mamlaka yakuisemea Yanga unayo

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 2 дня назад

    Subirini nikiinunua efm nawapa thank u wawili hapo

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 5 дней назад

    Ahmed uko sawa

  • @Hassanisuleimani
    @Hassanisuleimani 5 дней назад

    Huyo mudi nyie munamuita ahmed mmepooza Hugo akili Hana mayele hakuuzwa na yanga aliuzwa na mamaake au na shemeji yake anae tembea na dadaake

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 5 дней назад

    Mda wa madunduka huu kutamba ligi ikianza mateso mpaka mda wadirisha dogo wanaamkaga tena

  • @wilbertsanze285
    @wilbertsanze285 5 дней назад

    Huyu mzee chizi

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 5 дней назад

    Ats nini utajua mambo ya mayele kweli

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 5 дней назад

    Sasa kwani yanga walimuuza mayele hata jambo la kweli yanga hamlitaki washamba sana nyinyi gongo wazi

  • @mubaraalichiku6089
    @mubaraalichiku6089 5 дней назад

    Ahmed Ali Nakuheshimu lakini msenge, aseme ukweli mbwa koko ww

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 6 дней назад

    Kama yanga hawa kumuuza wewe inakuathiri nini?

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 6 дней назад

    Inonga marehem duuuu

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d 7 дней назад

    Mayele alikua yanga kwa mkopo

  • @gabrielgwawu4026
    @gabrielgwawu4026 7 дней назад

    Chizi chizi tu. Na badoooo.!! YANGA BINGWAAAAAA TENA NA TENAAA

  • @HalidiKilale-d2n
    @HalidiKilale-d2n 7 дней назад

    Semaji la visemaji Sauti ya jogoo akiwika Hadi vijiji vya jirani wanaskia sauti.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 7 дней назад

    MAYELE ALIUZWA NA SIMBA BASI

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 7 дней назад

    Mkataba umeisha unasemaje mmemuuza...hii klabu ni uongo uongo tuuu

  • @AbrahamanHussein
    @AbrahamanHussein 7 дней назад

    Huyo ahemed ni mpumbavu kazoea kuwadanganya makolo anawaina wote

  • @MusaAli-gl1ue
    @MusaAli-gl1ue 7 дней назад

    Inawaumaaa wakisikia sauti ya Ahmed

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 7 дней назад

    Wewe ndio semaji la caf simba nguvu moja

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 7 дней назад

      Nguvu Moja huku mkiteseka nyeee ni Hoya Hoya kweli

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 7 дней назад

    Waandishi na ninyi wachambuzi,kfk hilo jibu lake huyo comedian(siyo msemaji wa simba)muulizeni swali dogo tu, ambalo halihitaji elimu ya chuo kikuu. ATS ya Mayele ilitoka klabu gani wakati anakwenda Plamidy?

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 7 дней назад

    Semaji la wasemaji handsome boy wetu huyooo wanaonuna wacha wanune tupa kuleeeee!

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 7 дней назад

    😂😂😂😂 oruma maswal yote yameyayuka baada .......bila d 2 huwez kuelewa

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 7 дней назад

    Semajiii wakeereeee wenye vifukunyuku

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 7 дней назад

    Huyu msemaji 😂😂😂😂

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 7 дней назад

    😂😂😂 alomuona oruma anajichekesha akicheka kinafiki 😂😂😂😂,

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 7 дней назад

    Huyu ni msemaji sahihi kwa klabu yetu. Msemaji huwa hakurupuki

  • @user-lj8jp9dc9l
    @user-lj8jp9dc9l 7 дней назад

    Wee jibu la inonga ya mayele hayakuhusu. Hivi huo fara walimchaguaje kuwa msemaji.

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 7 дней назад

    Wachambuzi wanaididimiza Simba. Media za Tanzania za michezo ni shabiki, Umuhimu inaopewa Simba inaufanya uoncozi wa Simba kufikiria timu yao ipo sawa na kutofanya vitu vinavyotakiwa kuiimarisha. Sasa hivi Simba ni timu ya tatu. Wachambuzi mungeisaidia timu kama Azamu na Yanga kuangalia ni jinsi gani wanatakiwa kujiimarisha kugomba ubingwa wa Afrika. Suala la kusajili Timu bila mwalimu sijui inamantiki gani! Haya hamchumbui!

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 7 дней назад

    Huyu msemaji ni komediani sana sasa watu wanakuliza yeye analeta mzaa kweli simba mjitahidi kutafuta wasemaji Wenyeweredi

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 7 дней назад

    Wewe ahmedy ally ni matako kabisa Sasa una mamlaka Gani ya kusema mayere hakuuzwa na yanga wakati hukushiriki kumsajiri hapo umenihudhi pakubwa

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 7 дней назад

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 7 дней назад

    Sasa wewe unauliza bei YA mchezaji ili wewe iweje? Acha kuichokonoa Simba

  • @CharleslKomba
    @CharleslKomba 7 дней назад

    Chama awezi kuondoka labda rasta

  • @shijamusilikale4731
    @shijamusilikale4731 8 дней назад

    Wewe ni nyoko sana wewe siyo kiongozi wa mpira acahia ngazi

  • @shijamusilikale4731
    @shijamusilikale4731 8 дней назад

    We ni mpumbafu

  • @Sherrymwinyi
    @Sherrymwinyi 8 дней назад

    wamekuchakua wanachama wachache tu

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 8 дней назад

    Oruma umekuwa msemaji wa simba

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 дней назад

      😂😂😂 wanaumia wengiii na Ubuntu botho....

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 дней назад

      Oruma 😂😂🤣 anapata maumivu makalii sanaaa

  • @HamamyMohd
    @HamamyMohd 8 дней назад

    Aende tu,kwanza anashawishi wachezaji wakose heshima na morali ya timu.......Simba nguvu moja❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-ib2ew9ec3d
    @user-ib2ew9ec3d 8 дней назад

    Aondoke kwanza yeye nani kaondoka med kagere mk 14 chama ndonani atembeetu hakuna Alie fikia magoli ya med had leo

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 8 дней назад

    Chama alikosa mechi nyingi aliposimamishwa.

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 8 дней назад

    Paccome iz far batter than chama even chama knows the truth.....refer msimu wa kwanza wa chama then compare na msimu wa kwanza wa pacome ...then linganisha na game walizocheza ....maana oruma unataja takwimu kwa ku favor upande flan 😂😂😂 , tatizo la madunduka kuamini kwamba hakuna mchezaji mzuri yanga zaidi ya chamade ...... 😂

  • @damasiliduke6649
    @damasiliduke6649 9 дней назад

    Mtazamo wangu ni style ya Simba Kushughulikia usajili, binafsi naona lengo la Simba ni kutafuta popularity wakati huu wakati hawafanyi usajili wa maana. Mbinu zile zile za misimu mi2 iliyopita. Misimu yote hiyo tumesajili bila kocha, tumeondoa wachezaji wengi Bora tunasajili wenye viwango duni. Hata msimu huu tusitarajie maajabu mkubwa kwa mbinu hizi.

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 9 дней назад

    Ngungu boy piga kazi achana nao ata mitume walipingwa na watu wao Waache waseme jeshi la mtu mmoja

  • @selemwenda690
    @selemwenda690 10 дней назад

    We mzee mangungu tupishe tuu umli wako na uongo ni vitu viwili tofauti sana ulimleta manzoki kwenye kampeni zako ni muongo huwezi toka zako huna maana simba hapo na hujitambui tuu jiuzulu ondoka ondoka umetutesa kwa uongo wako nikipita namleta manzoki yuko wapi toka zako huko!!

  • @user-hl6ev3sg1p
    @user-hl6ev3sg1p 10 дней назад

    Huyu jamaa ni mbishi sana, na hajui kujieleza, si mzungumzaji mzuri, hajui kujenga hoja.

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 10 дней назад

    Wewe ni mganga wa kienyeji sio kiongozi

  • @user-yq2iu4uh5z
    @user-yq2iu4uh5z 10 дней назад

    Akuna aliekuchagua acha shobo

  • @kabazitv4293
    @kabazitv4293 10 дней назад

    Huyu mangungu ni bonge la kiongonzi tutamkumbuka akiondoka, sikiliza hata jinsi anajibu maswali anaona anajua nin anafanya, wengi wanaotak ajiuzuri ikiwasikiliza hawa hoja za msingi shz wanasem kisa alimleta manzoki kwenye uchaguzi wakampa kura mjinga hapo nani, mchezaji mmoja ndo akusabishe umpe mtu kura??? Unampa mtu kura kulingana na hoja zake, kwan manzoki ilikuw ni sehem za hoja zake???

  • @EmanuelChilumba
    @EmanuelChilumba 10 дней назад

    Unatusliti bro